Marioo – Love Song ft. Alikiba

Marioo – Love Song ft. Alikiba
Artist Marioo

Lyrics

Nipende sana mi nataka wale

Walosema utaniacha wanune

Tupendane yani mpaka wale

Walosubiri tuachane wachunde

Acha wakae vikao wamalize waganga

Yanawashinda ya kwako hao ni kama waganga hao hao

Hawatulii tulii kwao unawaponza uganga

Huoni ata sura zao mbaya aah

Wananitaka misiwataki nakutaka wewe tu

Wakinifata nakimbia nakufata wewe tu

Asa we ukitaka mi nilie amua wewe tuu

Ama nitoke adharani nisemee

I love you

I love you

I love you

I love you

Ndakukunda nshetee teamo tecero

Yaskedai honey…. Nakupenda

Kila siku nikikuona nakuona mpya

Kila siku nikikuona nakuona we mzuri ww

Kila mara yako ww naona taa

Hapa bado namuomba mungu wamwisho uwe ni ww

Wananitaka mi siwataki nakutaka wewe

Wakinifata nakimbia mbio nakutaka wewe tu

Ata ukitaka mi nilie utaamua wewe tuu

Ata ukitaka nitoke adharani nitangaze ya kwambaa

I love you

I love you

I love you

I love you

Drop your comment!

You Might Also Like 👇

About Wadupsongz
I publish contents here on Wadupsongz.

Be the first to comment

Leave a Reply

Please kindly drop your comment below👇.